Rain maker ni msanii wa bongo flavor , hip-hop pia ni mwandishi wa nyimbo aina Zote kutoka AFRIKA ya mashariki nchini Tanzania pia ni mwanzilishi wa kundi maarufu hapa Tanzania linaloitwa MBEYA MONSTERS
KWA MAWASILIANO MPIGIE KWA NAMBA HIZI HAPA CHINI
+255620889462/+255759839370
EMAIL_ rainmakernuru@gmail.com
NIFUATE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII HAPA π
INSTAGRAM π
@rainmakertz
FACEBOOK π
rainmakertz
TIKTOKπ
rainmakertz