Media hii inamilikiwa na Kanisa Kuu la Mt. Anthony wa Padua Jimbo katoliki la Tanga. Hiki ni kitengo cha Habari cha Kanisa ambacho kinarusha Mafundisho mbalimbali ya kanisa kama vile Maadhimisho mbalimbali ya Misa ndani ya Jimbo la Tanga hivyo wote mlipo katika Kanisa Katoliki ndani ya Jimbo mnakaribishwa kuomba kurushiwa Maadhimisho ya Misa katika Parokia yenu