in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
ARUSHA: Inadaiwa Makamu Mwenyekiti wa #CHADEMA, Tundu Lissu, amekamatwa asubuhi ya leo Septemba 10, 2023 wakati akiwa Wilayani Karatu.
-
Wengine ambao nao inadaiwa wamekamatwa ni Walinzi wote wa Lissu, Catherine Ruge (Katibu wa BAWACHA), Mzee Hashim (Mwenyekiti Wa Baraza la Wazee CHADEMA Taifa), Suzan Kiwanga na Oscar ambaye ni Mwandishi wa Jambo TV
-
Taarifa zaidi kutoka upande wa CHADEMA na Jeshi la Polisi zitakujia.
0 - 0
ARUSHA ZONE
All content is copyright protected ©
DO NOT USE or RE-UPLOAD to any social media without inquiring about written permissi
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi e-mail: arushazone1@gmail.com
+255-769 900 005
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # arushazone
Thanks.