in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Hii inakuhusu, Bodi ya Huduma za Maktaba inakualika katika maonesho ya vitabu. Tukutane panapo majaliwa. @maktabazanzibar6661
3 - 0
Ufunzaji wa Kiswahili kama lugha ya pili unaendelea kuimarika Marekani. Hata hivyo, aghalabu uhusiano baina ya Waafrika na Wamarekani Weusi umekuwa na changamoto. Katika wasilisho hili, Dkt Leonora Kivuva anaanzisha mjadala kuhusu jinsi kuimarisha uhusiano kunaweza kuleta maendeleo chanya kwa lugha na utamaduni wa Kiswahili.
0 - 0
Kiswahili kinabadilika kila kuchao. Maneno mapya yanaongezeka na mengine ya awali yanaachwa au yanabadili maana. Durusu Kiswahili ipo kupambanua mabadiliko haya kwa kuangazia maneno mapya, maana mpya na jinsi yanavyotumiwa katika lugha hii adhimu ya Kiswahili. #DurusuKiswahili