in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Ijumaa ya tarehe 30/8/2024 nitakuwa #live katika mtandao wa Tiktok kupitia akaunti yangu (Madam Leila Abubakar) kuanzia saa 3:30 - 4:15 usiku (saa za Afrika mashariki) inshaallah.
Karibu tuzungumze, tujadili mambo mbalimbali yanayotusibu katika maisha yetu ya kila siku.
Ahsante.
81 - 2
Hakuna mbadala wa changamoto lakini kuna nafasi ya kuzichukua kama funzo ujifunze au kama kaa(la moto) likuchome.
31 - 0
Ilikua wasaa mzuri kwangu kujumuika na ndugu zangu wa Simba Cement katika kupongeza harakati za kina mama katika ujenzi na ufanisi kwenye uzalishaji. Natoa pongezi kwa waandaaji na wasimamizi wa hafla hii, nawaombea Afya na Uzima..Amen
32 - 0
"Hamasa kutoka kwangu hatua ni zako"
Amua mabadiliko,Acha mazoea