in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan amewapongeza Vijana wa Tanzania Ramadhani Brother's kwa kushika nafasi ya tano katika mashindano ya vipaji nchini Marekani yajulikanayo kama American Got Talent.
"Hongereni sana Fadhili & Ibrahim (The Ramadhani Brothers) kwa hatua kubwa katika mashindano ya AGT 2023. Safari yenu ni alama ya Utanzania (bidii, nidhamu, kujituma, kujiamini na nia ya kufanya mambo makubwa). Mmeitangaza vyema nchi yetu. Mmelitendea vyema jina la Taifa letu."
9 - 1
Bondia namba 70 kwa ubora Duniani Hassan Mwakinyo amezua taharuki baada ya kuandika kuwa hatatokea katika pambano analotarajia kupanda ulingo siku ya kesho Sept.29 kuzichapa na Bondia Mkenya Rayton Okwiri.
Mwakinyo amendika kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa anatoa siku moja kwa Azam Tv kama atapigana ama lah.
"hapa tulipofkia nyinyi binafsi ndio mnaweza kutatua hii changamoto na Muda ni Leo tu "
12 - 0
Karibu upate habari na matukio ya aina mbalimbali.