in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Ukitengeniza application kama hii Unaweza kuwa unachart na wenzako kama ilivyo kwenye Whatsapp. Jifunze sasa njia Rahisi sana ya kutengeneza app kama Whatsapp 👇👇👇
0 - 0
Kupitia Video hii unaweza kujifunza jinsi ya kuunganisha channel yeyote ya YouTube kwenye Application yako.
0 - 0
SAM SHOP ZONE ni channel inayokuletea mafunzo mbali mbali ya jinsi ya kupata pesa na kujinasua kiuchumi video zetu tunatoa kwa lugha ya kiswahili kwa kuhakikisha kila mtanzania anaelewa vizuri.