in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Upitiapo Hali ya kutokueleweka kwa watu wakikupa VITISHO mbalimbali ilihali unafanya Haki kwa kufanya maelekezo MUNGU akupayo,usije ukamwogopa mwanadamu( kuwahofia wanadamu kunaleta mtego na amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu) kwasababu huyo hutumika na adui KATIKA kupingana na Yale mambo makuu MUNGU aliyoyaweka ndani yako kwahiyo hivyo vita na vya MUNGU na si vyako SI vya damu na nyama
pale atuambiapo adui yako ni adui yangu usipigane Mimi bwana nitakupigania na mwishowe atuambia tusizitegemee akili zetu WENYEWE tukimtegemea yeye tutakaa salama
3 - 2
MAFANIKIO halisi ni Yale yatokanayo na wewe kuweza kujua UPEKEE WAKO na kuuishi,,namna pekee ya kujua UPEKEE WAKO ni pale uwezapo kuhusiana na Muumba wako yeye ndiye aliyekujua kabla hajakuweka kwenye tumbo la mama yako( he predestined you),,kazi ni kwako kujua Yale mambo MAKUU Mungu aliyoweka tayari ndani yako ili uweze kuyaishi hayo ,, Barikiwa Sana #UPEKEE WAKO
3 - 0
Welcome to my channel in here we're going to learn on how people they will know their purpose/calling/ uniqueness,, please subscribe for more
"Karibu kwenye chaneli hii hapa tutajifunza namna ya mtu awezavyo kujua UPEKEE wake na kuuishi"
NB:Jesus is our savior,if you believe in him you will be saved and you will have the eternal life within you(YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU,UKIMWAMINI UTAOKOLEWA LEO NA UTAPATA MAISHA YA MILELE NDANI YAKO)"
HALLELUJAH &BE BLESSED