Mezani ni jukwaa la mtandaoni linalolenga kuongeza ufahamu juu ya mambo ya msingi kuhusu sayansi, elimu, afya, maisha, malezi, historia, makala, hadithi fupi, nadharia na maandiko binafsi.
Lengo ni kuwa jukwaa kiini au chachu ya kupendezesha maarifa, kujifunza na kujenga ukinzani wa mawazo wenye afya. Karibu ujumuike nasi, karibu tusafiri pamoja, maana maarifa haya hayana mwisho..Basi sabuskraibu chaneli yetu na bonyeza alama ya kengele. Mtaarifu rafiki yako, aje aelimike..