in the future - u will be able to do some more stuff here,,,!! like pat catgirl- i mean um yeah... for now u can only see others's posts :c
Tazama makala hii ya kusisimua kuhusu vifo vya wanamaji wa URUSI 118, katika kina kirefu cha bahari, makala hizi za #MAELEZO zinaruka kila siku ya jumapili saa tano kamili asubuhi hapa hapa Dar24Media
0 - 0
TAZAMA MAKALA YA MAUAJI YA NDUGU WA RAIS WA KOREA KASKAZINI KWA KUBOFYA KIUNGANISHI (LINK)HIKI HAPA CHINI
https://youtu.be/DjOkPVofWP0?si=njlpp...
5 - 0
Mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Haitham Kim amefariki Dunia mapema leo Septemba mosi wakati akipatiwa matibabu kwenye hospitali ya Temeke Dar es Salaam
Taarifa za awali kutoka kwa ndugu wa karibu wa mwimbaji huyo ni kuwa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya mapafu.
Haitham Kim alifanya vizuri na kibao kama Playboy alichokitoa mwaka 2016 na kuendelea kuzikonga nyoyo za mashabiki wake kwa nyimbo mbalimbali ikiwamo 'HAKUTAKI' aliyoiachia mwezi wa sita mwaka huu 2023.
93 - 4
Baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar nani unadhani anastahili kuwa mchezaji bora?
95 - 9
Baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal, nani unadhani anastahili kuwa mchezaji bora?
60 - 8
Dar24 Media is an online media registered with Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA), founded in 2014. We are focused on offering best media content that engenders a strong audience base across multiple channels due to our difference. We reach the audience through our platforms YouTube Channel (Dar24 Media), Facebook (Dar24Media), Instagram (Dar24News), Twitter (Dar24 News) and the App (Dar24 Media).
Dar24 Media offers a unique, credible source of news and information as well as the effective advertising platform. Accuracy is our first principle.
We are a fast-growing media outlet, coming up with innovative content to assist our stakeholders reach the targeted audience in a way that will ensure their sustainable brand growth and increased conversion rates.