Powered by NarviSearch ! :3
https://www.youtube.com/watch?v=UgL43tXHpm8
KTN NEWS LIVE Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on YouTube - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed
https://www.rfi.fr/sw/makala/habari-rfi-ki/20240612-mvutano-kati-ya-serikali-ya-kenya-kuhusu-mafao-ya-rais-mstaafu-uhuru-kenyatta
Mvutano kati ya serikali ya Kenya kuhusu mafao ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Imechapishwa: 12/06/2024 - 19:00. Cheza - 10:18. Kusambaza. Ongeza katika orodha.
https://taifaleo.nation.co.ke/2024/06/16/bajeti-ya-202425-itakomesha-ukopaji-waziri-kuria/
Akisoma Makadirio ya Bajeti Mwaka wa Fedha 2024/25 mnamo Alhamisi, Waziri wa Fedha hata hivyo alisema ina pengo la Sh597 bilioni. ... Huku akirejelea utawala wa Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Waziri Kuria alitahadharisha kuhusu maamuzi yanayolenga kufurahisha umma. ... Mbunge John Kiarie aomba Gen Z msamaha kwa matamshi yake... June 24th, 2024
https://radiojambo.co.ke/habari/yanayojiri/2024-06-10-ofisi-ya-rais-mstaafu-uhuru-yaweka-mambo-wazi-kuhusu-marupurupu-yake/
"Hiyo ni takriban asilimia 4.4 ya bajeti yote ya mwaka huo," Kanze alisema. Ofisi ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta pia imekanusha ripoti kwamba serikali ilinunua magari mapya kwa ajili ya afisi yake kama inavyotakiwa na katiba. Katika kikao na wanahabari, Uhuru kupitia kwa msemaji wake Kanze Dena badala yake alisema kwa sasa anatumia magari
https://radiojambo.co.ke/habari/taarifa/2024-06-11-serikali-yajibu-madai-ya-ofisi-ya-uhuru-kunyimwa-ufadhili/
Serikali ya Rais William Ruto imejitokeza kushughulikia kauli kali ya aliyekuwa rais Uhuru Kenyatta kuhusu hadhi ya mafao yake ya kustaafu. R ais mstaafu Uhuru Kenyatta kupitia msemaji wake Kanze Dena Jumatatu alasiri aliwaambia wanahabari kwamba afisi yake imekabiliwa na njaa ya vifurushi vyake halali miongoni mwao mgao wa bajeti ulioainishwa, na kumlazimu rais huyo wa zamani kutekeleza
https://radiojambo.co.ke/habari/yanayojiri/2024-06-11-pensheni-ya-uhuru-wabunge-wataka-majibu-kutoka-ikulu-ya-rais/
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta Image: Hisani. Wabunge wamemtaka msimamizi wa Ikulu Kato Ole Metito kueleza kwa nini afisi ya Aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta imekuwa ikiendeshwa bila ufadhili wa serikali. "Tunawaagiza makarani wetu kumwandikia Msimamizi wa Ikulu kuja na kufika mbele ya kamati kuhusu ni kwa nini afisi ya aliyekuwa rais haipokei
https://www.youtube.com/watch?v=4wnwOHf63YY
Connect with KBC OnlineSubscribe to our channel: https://t.ly/86BKNFollow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.face
https://www.radiotaifa.kbc.co.ke/rais-ruto-abuni-kundi-la-kushughulikia-malalamishi-ya-rais-mstaafu/
Dena alisema kwamba rais Kenyatta ndiye amekuwa akifadhili mipango ya afisi yake na kwamba afisi hiyo imepokea shilingi milioni 28 pekee kati ya milioni 655 ilizotengewa kwenye bajeti ya mwaka 2022/2023. Sheria kuhusu mafao ya rais mstaafu imeelezea baya kuhusu mafao kwa rais mstaafu yakiwemo malipo ya takrima kila mwezi, pesa za burudani, pesa
https://www.standardmedia.co.ke/podcast/podcasts/227/sepetuko/episodes/1566/kuwajibika-kwa-mafao-ya-rais-mstaafu-je-jopo-ni-lazima
Suala la mafao ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta halistahili jopo, ni suala ambalo sheria za nchi zinatosha katika kulitatua. Kenyatta anauliza kipi kilifanyika kwa mgao wake wa bajeti kwa miaka
https://kiswahili.tuko.co.ke/kenya/551441-uhuru-kenyatta-ashutumu-ikulu-kwa-kumnyima-pesa-za-huduma-za-ofisi-yakehata-mafuta-ya-gari-hapewi/
Msemaji wa Uhuru, Kanze Dena, alidai afisi hiyo haikupokea pesa zozote katika mwaka wa kifedha wa 2022/2023 licha ya kutengewa KSh 503 milioni . Nairobi - Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ameshutumu utawala wa Kenya Kwanza kwa kulemaza oparesheni za ofisi yake.
https://www.dw.com/sw/kenyatta-serikali-msilaumu-utawala-uliopita-chapeni-kazi/a-67486746
20.11.2023 20 Novemba 2023. Rais Mstaafu wa kenya Uhuru Kenyatta, ameiambia serikali iliyoko madarakani iache kuulaumu utawala wake kwa kushindwa kutimiza malengo iliyowaahidi Wakenya.
https://www.bbc.com/swahili/live/habari-61282417
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameongoza taifa katika mazishi ya mtangulizi wake Hayati Mwai Kibaki huko Othaya Kaunti ya Nyeri.
https://www.facebook.com/CitizenTVKe/videos/mafao-ya-uhururais-ruto-afanya-mazungumzo-na-uhuru-kenyatta-kamati-maalum-yaundw/1648755782575278/
Mafao ya Uhuru: Rais Ruto afanya mazungumzo na Uhuru Kenyatta Kamati maalum yaundwa kushughulikia marupurupu Ofisi ya Rais mstaafu inalalamikia kudhalilishwa Ofisi hiyo inadai kunyimwa fedha kwa miaka miwili Kenyatta: Nimelazimika kugharamia mahitaji ya ofisi yangu #CitizenNipashe
https://taifaleo.nation.co.ke/2024/04/07/serikali-yaambia-uhuru-tumia-ile-afisi-ya-kibaki-lau-sivyo-usahau-kulipiwa-kodi/
MVUTANO unatokota baina ya serikali ya Rais William Ruto na aliyekuwa kiongozi wa taifa Uhuru Kenyatta kuhusu chaguo la afisi ya rais huyo mstaafu huku serikali ikianza kutekeleza kikamilifu Sheria kuhusu Marupurupu ya Marais Waliostaafu 2003. Sheria hiyo inasema rais mstaafu aliye hai apatiwe afisi na wafanyakazi wa kudumu, watakaokuwa
https://www.youtube.com/watch?v=zPry23mnuLM
Majadiliano na Majumuisho ya Bajeti ya Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji pamoja na Ofisi Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Borawa mwaka wa Fe
https://www.jamiiforums.com/threads/hoja-ya-kusitisha-mafao-ya-rais-mstaafu-uhuru-kenyatta-yatua-bungeni.2093062/
Uamuzi wa kusitisha mafao ya Odinga na Musyoka utaamuliwa na si chini ya nusu ya wabunge, kwa mujibu wa Sheria ya Mafao ya Kustaafu (Naibu Rais na Maofisa Walioteuliwa). Kagombe pia anataka Hazina ya Taifa kurejesha angalau Sh844 milioni ambazo zimelipwa kwa maofisa watatu wa zamani baada ya kuondoka ofisini.
https://kiswahili.tuko.co.ke/siasa/551503-uhuru-kenyatta-amlia-william-ruto-asema-serikali-yake-inawatishia-wafanyakazi-wake-usiku-wa-manane/
Ofisi ya Uhuru ilieleza kuwa maafisa wa Ikulu wamekuwa wakisumbua Ofisi ya Rais wa Nne kwa kuinyima pesa za afisi hiyo. Akiwahutubia wanahabari mnamo Jumatatu, Juni 10, Kanze Dena alidai afisi hiyo bado haijapokea pesa katika mwaka wa kifedha wa 2022/2023 licha ya kutengewa KSh 503 milioni.
https://www.youtube.com/watch?v=iR8GQubcu1w
Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuanza rasmi mazungumzo yake ya amani ya kwanza kama mwakilishi wa Umoja wa Africa (AU), katika mkutano utakaofanyika
https://www.cityofloudontn.org/government/elected_officials/city_council/index.php
Welcome. The City of Loudon is located along the Tennessee River in eastern Tennessee approximately 25 miles southwest of Knoxville off Interstate 75. It is the county seat of Loudon County. The population as of the 2020 census was 5,991. The property tax rate is $1.0993 per $100 of assessed value.
https://loudoncountyvotes.com/
Loudon County, Tennessee Election Commission 100 River Road, Suite 108, Loudon, TN 37774 Phone: (865) 458-2560 | Fax: (865) 458-4825
https://radiojambo.co.ke/habari/kimataifa/2024-05-31-rais-mstaafu-uhuru-kenyatta-aelezea-imani-yake-na-tume-ya-uchaguzi-ya-afrika-kusini/
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta akizungumza na wanahabari,Afrika Kusini. Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewapongeza raia wa Afrika Kusini kwa uvumilivu wao katika uchaguzi mkuu uliomalizika hivi punde. Rais huyo mstaafu ambaye ni mkuu wa tume ya umoja wa Afrika ya waangalizi wa uchaguzi Alhamisi alihudhuria mkutano fupi kuhusu maendeleo ya uchaguzi
https://www.loudonfuneralhome.net/obituaries
May 31, 2024. Freddie Dewayne Hodge, age 56 of Loudon, passed away May 31, 2024 at home. Freddie was preceded in death by his wife, Mary; grandparents, Joe and Ruth Lawhon and Charles and Bessie Hodge. He is survived by his parents, Charles and Sue Hodge; brother and sister-in-law, Joe and Ruby Hodge; daughter and son-in- law, Gabby and Shawn
https://www.loudoncounty.org/page/board-of-education/
Mr. Kenny Ridings (1st District) Board Chairman 6686 Highway 72 N Loudon, TN 37774 865-408-0899 Email Kenny Ridings